Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetangaza kumalizika kwa majukumu yake ya kupeleka wanajeshi nchini Jamhuri ...
Ubelgiji na Rwanda zinawatimua wanadiplomasia wao katika kujibu kuhusiana na mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya ...
Prof Janabi na wenzake wanawania kuziba nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda hiyo, Dk. Faustine Ndugulile, waziri ...
Mazungumzo ya amani yaliyopaswa kufanyika leo nchini Angola kwa lengo la kutafuta suluhu kwa mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamepata pigo kubwa baada ya kundi la waasi la M23 kujiondo ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ...
Umoja wa Mataifa unaendelea kumuunga mkono mshirika wake, serikali ya Jamuhuri ya Kidemokratia ya Kongo, katika kuwalinda raia. Ni kwa ajili hiyo ambapo Umoja wa Mataifa, kupitia ujumbe wake wa ...
Wagonjwa wanakimbia vituo vya matibabu Hofu mpox kusambaa nchi jirani na DRC Ndui nayo yashamiri Afrika na kwingineko Hali ya ugonjwa wa mpox chini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC inatia hofu ...
Kundi la waasi wa M23 linaendelea kusonga mbele katika maeneo muhimu ya kimkakati mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya kuteka miji mikubwa ya Goma na Bukavu. Kutokana na ...
ikimtuhumu kuhusika katika vita kati ya kundi la waasi la M23 na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mbali na Jenerali Kabarebe, Marekani pia imewawekea vikwazo msemaji wa kundi la M23 ...
Al Jazeera looks at the bid to bring Formula One back to the African continent for the first time in 32 years.