Wakulima wa mwani kisiwani Unguja wameeleza ukosefu wa mbegu bora za uzalishaji zao hilo hivyo kurudisha nyuma jitihada zao.
Akizungumzia maisha ya bibi huyo kuishi miaka mingi, mtoto wa marehemu, Michael Assenga amesema mama yake alikuwa anapenda ...
Wakati zikibaki siku nne kabla ya mechi ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (Wafcon) 2026 dhidi ya ...
Nyota wa Manchester City, Omar Marmoush jana lionyesha kwanini alisajiliwa klabuni hapo ikiwa ni baada ya kuisaidia timu yake ...
Kama kuna jambo la thamani unaweza kufanya leo, basi ni kumchagua Mungu kuwa wa kwanza kwenye maisha yako na kama utajisifu ...
Mwanamuziki mwenye asili ya Congo, Christian Bella, leo Februari 16,2025, amesema viongozi wa Afrika wanatakiwa kushikamana ...
Sisi tunaliona hili kama ni tatizo ambalo linatakiwa kutatuliwa mapema, kwani likiota mizizi linaweza kuleta madhara makubwa ...
Tottenham Hotspur na Manchester United haziko pazuri kwenye msimamo wa ligi lakini hilo haliondoi ugumu wa mechi baina yao ...
Katika chapisho lingine, alidai bila kutoa ushahidi kwamba watu wa kabila la Bahima kutoka Uganda wamekuwa wakishambuliwa ...
Kwetu sisi, uwepo wa shule ambazo wanafunzi wanasoma chini ya miti nchini, ni suala linalohitaji kuangaliwa kwa undani na ...
Nyakati za mvua kubwa mbali ya mafuriko kwa baadhi ya maeneo, pia hutolewa tahadhari ya kuibuka magonjwa ya milipuko ukiwemo ...